Je unapata moja kati ya matitizo haya kwenye king'amuzi chako

Je unapata moja kati ya matitizo haya kwenye king'amuzi chako

1.Tatizo la sauti
2.Picha kuganda
3.E-16 mara kwa mara
4.E 37(Kukosa baadhi ya chaneli)

Fahamu namna ya kurudisha Ki'ngamuzi chako kwenye mfumo wake wa Awali!

Kwa Zapaa na Explora
• Bonyeza  kitufe cha bluu "DStv"
• Chagua "Setting"
•Chagua"System settings
• Kisha chagua  "Reset Decoder Settings"
• Kisha  "Reset to factory default"
• Bonyeza  "OK"
•Subiri wakati inafanya taratibu za kurudisha kin'gamuzi kwenye mfumo wa awali

Kwa DSD(11 Series)
• Bonyeza "MENU"
• Chagua "Information Central"
• Bonyeza  8 (to reset all Factory Settings)
• Bonyeza  "OK"
•Subiri wakati inafanya taratibu za kurudisha kin'gamuzi kwenye mfumo wa awali
• Kin'gamuzi kitarudi kwenye namba 100 baada ya kumaliza

Muhimu:Ikiwa unatumia ki'ngamuzi cha Explora epuka kuchagua "Format" Kwani itafuta vitu vyote vilivyohifadhiwa awali.

Ikiwa bado hujapata huduma usisite kuwasiliana na huduma kwa wateja kwa msaada zaidi.

#Teachtuesdaywithdstv
#20yearsofawesomeness

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KULIPIA DSTV (Follow these simple steps to pay or top up your account)

SEA PIANO SUBWOOFER

Tumia azam decoder kwa tv zaid ya moja