Posts

Showing posts from October, 2017

Je unapata moja kati ya matitizo haya kwenye king'amuzi chako

Image
Je unapata moja kati ya matitizo haya kwenye king'amuzi chako 1.Tatizo la sauti 2.Picha kuganda 3.E-16 mara kwa mara 4.E 37(Kukosa baadhi ya chaneli) Fahamu namna ya kurudisha Ki'ngamuzi chako kwenye mfumo wake wa Awali! Kwa Zapaa na Explora • Bonyeza  kitufe cha bluu "DStv" • Chagua "Setting" •Chagua"System settings • Kisha chagua  "Reset Decoder Settings" • Kisha  "Reset to factory default" • Bonyeza  "OK" •Subiri wakati inafanya taratibu za kurudisha kin'gamuzi kwenye mfumo wa awali Kwa DSD(11 Series) • Bonyeza "MENU" • Chagua "Information Central" • Bonyeza  8 (to reset all Factory Settings) • Bonyeza  "OK" •Subiri wakati inafanya taratibu za kurudisha kin'gamuzi kwenye mfumo wa awali • Kin'gamuzi kitarudi kwenye namba 100 baada ya kumaliza Muhimu:Ikiwa unatumia ki'ngamuzi cha Explora epuka kuchagua "Format" Kwani itafuta vitu vyote vilivyohifa